Zake au za babake?? Au ulidhani alizaliwa mwenyewe kwao kamba pesa zote za urithi ni zake?? Kwanini siku zote hakujenga Machame kama pesa ni zake ye mwenyewe??
Alafu kama ana pesa kwanini aliwachangisha Join the Chain??
its either ana link ya ujambazi au ugaidi. Ni kweli wasihangaike kumtafuta..
Hii iwe somo tuache kununua simu za mikononi kwa watu ambao hatuwafahamu..
Mwambie huyo Martin aache kuwa chawa wa Boni. Mwanaume kamili wa kanda maalum haifai awe chawa..
Kazi yake kuokota mayai na kuzurula n boni akibwia bia za bure
We unafikiri bodaboda ataacha kukaa kijiweni apakie vichwa apeleke marejesho kwa boss ila azunguke na Mbowe bure siku nzima??
Yale magari wanakodi, music, matangazo unafikiri yanafanyika bure??
Ahahahaha hizi ndoto za mchana.. Mwambie aende pale Tanesco azuie mgao wa umeme kama enzi zake. Au auende pale Magufuli bus terminal akatukane kwanini stand nzima inanuka kinyesi kama anaweza
Hivi Mama Maria Nyerere, Mama Mkapa, Mama Fatma Karume, Mama Magufuli, Mama Lowassa, Mama Mwinyi hawa wote ni wamachame??
Mama Mercy Mengi aliyekuwa mke wa kwanza wa Mengi alifariki na kumuacha Mzee, sipati picha Jackline angelikuwa Mmachame na ile situation ya kifo cha Mengi Dubai habari...
Mvua zisiponyesha, mabwawa yakose maji Umeme uwe wa mgao mnailaumu serikali. Maji yakipungua huko Mto Ruvu ambao ndio unalisha Dar mnailaumu serikali..
Tukubali kufata tu sheria, mapori tengefu yasiyoruhusiwa kuvunwa miti yaachwe..
Chongolo yeye binafsi ndiye aliandika barua ya kujihudhuru, huo ni uwajibikaji.
Chongolo kwenye barua hakukiri kwamba amefanya, alieleza kabisa kwamba kuhisiwa na aliachia vyombo vichunguze. Huo ndio ustaarabu.
Vyombo lazima vilichunguza na kuona ni uzushi tu. Na ndio maana unamwona leo...
Kwani ni Kenyan shilling tu?? Almost every currency inaaprreciate against ours. Mwigulu kichwa maji uchumi wa kukariri darasani field sifuri na blah blah nyingi.
Iko siku majuzi tu hapa Kimei alitoa lecture ya Uchumi pale bungeni mpaka wabunge wakamuongeza muda aendelee na darasa. That was a...
Mwigulu pale hamna kitu.. Anaacha kuweka watu wenye uzoefu wa muda mrefu kwenye sekta za kifedha na uchumi anakuja kuweka wapiga kelele na wabobezi kwenye ushirikina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.