Wakuu hofu yangu juu ya ile ndoa ya uzeeni ilikuwa kwenye haya masuala yetu ya kiafrika, ona vurugu zimeanza mke wa mrema gari lake limetolewa matairi huko....
Majibu sahihi anaweza kuwa nayo mama ako usikute bro Kuna Siri anaijua kuhusu wewe ambayo ww huijui...
Pia tafuta siku ukae nae na umuulize sababu ya yy kukuchukia hivyo...
Kwani hawawezi kutumia vikao vya ndani,kuongea na vyombo vya habari,social media ikiwemo kutoa barua na nyaraka tofauti kwenda serikalini kwa kulisemea tatizo husika?
Mkuu hebu kubali kuwa chama kinayumba sana kwa sasa...si kawaida ya chadema kuyakalia kimya matatizo ya namna hii.
Kwani ile nguvu ya kupush ajenda ya Katiba mpya kabla ya mbowe kukamatwa hao chadema walikuwa BUNGENI?
kwanini wasitumie njia zilezile walizozitumia kuwashawishi watu juu ya katiba mpya kutusemea haya matatizo yaliyopo sasa?..
Mkuu unapaswa kujua kuwa ushawishi wa chama chochote cha kisiasa huwaga ni kupigania ajenda zinazogusa maisha ya mwananchi moja kwa moja....tuliona chadema ikipinga UFISADI watu wakaielewa agenda yao kwakuwa ndilo lilikuwa tatizo kubwa kwa kipindi hicho...
Sasa Leo hii Kuna tatizo linalowatesa...
Kelele ni nyingi lakini kwa sehemu kubwa sauti zinazosikika ni zile za wananchi wa kawaida tu, hatuoni wanaharakati Wala vyama vya kisiasa hususani chama kama CHADEMA kikitoa tamko lolote zaidi ya kukaa kimya katikati ya hizi kelele nyingi zenye viashiria vya maumivu juu ya tozo...
Sasa huu...
Ni kweli maeneo mengine Kuna changamoto Sana na usumbufu mwingi Ila kwenye issue ya sensa ni lazima uulizwe kwakuwa hata Kama mifumo itakuwa na taarifa zako bado phyisical verification itahitajika ili kupata usahihi wa taarifa zilizopo kwenye mifumo ya kidigitali.
Unaposema data za NIDA teyari zipo NBS..hao NBS watajuaje walio hai na waliokufa kwa usahihi bila kupta takwimu za sensa?
Ikumbukwe ni idadi kubwa ya watu wanaokufa bila kufuata certificate za vifo kutoprocess certificate ya kifo kunaikosesha serikali takwimu sahihi za vifo...
Ukiona familia...
Sasa kwanini mnataka wawatetee na kwenye kila kosa la ccm analaumiwa chadema?
Mimi nadhani ni wakati sahihi wa ccm kufanya kazi yake bila kuingiliwa na wapinzani wanaowatetea mabeberu kwakuwa hata bungeni hawapo,
Inafika wakati hata wao chadema mnawachanya wakisimama kuwateteeni mnawapinga na...
Kumekuwa na simanzi kubwa na kuongeza idadi ya familia zitakazoishi maisha magumu kutokana na madhaifu ya sheria zetu ambazo zimelenga kukomesha watu badala ya kutatua tatizo.
Sheria inayomfunga kijana miaka 30 kisa tu amempa mimba mwanafunzi hata aliye na miaka zaidi ya 18 ziangaliwe upya au...
Kwani wewe ukiwa kwenye ule usingizi mzito huwa ukijua chochote kinachoendelea duniani?
Mfano wa kifo kwa sisi tulio hai ni ule usingizi mzito ambao hutokuja kuamka tena...
Hivi ni kwanini kila sheria iliyotungwa na zinazoendelea kutungwa ni zile tu ambazo lengo lake ni kubana, kufunga, kukandamiza na kuzuia kwanini hatuoni sheria ambazo zinatoa uhuru zaidi na matumaini zaidi kwa watu wake tofauti na sasa ambapo ukisikia kuna sheria mpya utaona athari zake kwa...
Wanaume tuonewe huruma, yaani siku nzima nihangaike kutafuta pesa bado tena usiku nianze kupambana kumfikisha mtu mlimani kweli...hebu wanawake kwenye hilo watuvumilie kidogo tusije shindwa fika mbinguni kwa kuchoka jamani
Tokea lini mpinzani wa serikali akawa na uwezo wa kuiba kura, kura huwa zikiibiwa na wagombea walio upande wa serikali huko hata wizi unaweza ukalindwa na mashindi bandia akatangazwa Ila sio kwa mpinzani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.