Russia hana sababuu ya kukomaa kununua carrier sababuu makombora yake tana uwezo wa kupiga popote pia Russia huingia vitani kwa kufanya analysis ya faida kwanza.
Russia wapo vizurii Sana uluza USA why hajawai kuipenda rusia coz anajua kuwa rusia ndie mpinzani mkuu ambae hamwezi ile vita ya mtu...
Shida inakuja kuwa wanaoajiriwa ndani ya taasis wanapelekwa kwa memo so hawaangalii tena talent na uwezo wa mtu wa akili na kuchanganua mambo.
pili taasis yenyewe imejiingiza kwenye siasa wakati haitakiwa kufunfamana na upande wowote.
Tatu ni kwamba taasis inatakiwa iboreshwa na ibadilushwee...
11.Pandit huyu jamaa ndio mmiliki wa daraja industries watengenezaji wa redgold tomato and chilly brand,na food and fruits brand ya redgold ana viwanda Arusha na iringa na ana mashamba ya kibao pia anadai na gemstone
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli overpopulation impact kwa wenzetu wanachukuliwa kwa umakini zaidi haswa wanalenga kudhoofisha fikra na kuzaliana kwa mwafrika ilia wao waweze kuja kuponea kuiba rasilimali ambazo kwao ni scarce pia hizo ngo na mashirika yao ni hatari sana mfano check rudia walifuata ngo zote za westen...
Israel huwa anamwomba Russia s200 au s300 isiwashwe pake wanapoe da kufanya yao Syria ila Russia akisema awase s300 itakuwa no fly zone na ndio walivyokubaliana
Hi member my name is gift am a graduate in marketing management also holder of diploma in international business from ncc .Apart from education I have experience of almost years on sales field
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.