Search results

  1. Ntile II

    Viongozi wa Kiafrika waache kutumia dhana ya uzalendo kuharalisha udikteta wao

    Rai February 2016 Na. Joel Ntile Mwishoni mwa wiki iliyopita tarehe 30 na 31 ya mwezi wa kwanza ulifanyika mkutano wa 26 wa wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU), makao makuu mjini Addis Ababa Ethiopia. Mkutano huo uliweza kuleta hamasa na mvuto wa kufuatilia kile kilichokua...
  2. Ntile II

    Hivi CCM hakuna uchaguzi wa mwenyekiti?

    Nimeisoma taarifa ya msemaji wa chama Ndugu Ole Sendeka inaonesha kwamba tarehe 23/July kuna makabidhiano ya Kijiti cha Mwenyekiti. Sasa najiuliza, hakuna tangazo la kuchukua wala kurudisha fomu! Pia hakuna kujinadi wala kunadiwa! Nadhani mfumo wa kukabidhiana ulifaa sana kwa miaka 1960s...
  3. Ntile II

    Jinsi watawala wanavyosigina mamlaka ya wananchi

    Yupo mwanafalsafa mmoja kutoka Ufaransa anaitwa Baron De Montesquieu mtalamu wa Sheria pamoja na masuala ya utawala katika Ulaya mnamo karne ya kumi na nane aliwahi kuainisha aina tatu za tawala katika Mataifa, Aina ya kwanza kwa mujibu wa De Montesquieu ni tawala za Kifalme (Monarch)...
  4. Ntile II

    Jinsi watawala wanavyosigina mamlaka ya wananchi

    ( Rai 02- 08 /06/2016 Alhamisi) Na Joel Ntile Yupo mwanafalsafa mmoja kutoka Ufaransa anaitwa Baron De Montesquieu mtalamu wa Sheria pamoja na masuala ya utawala katika Ulaya mnamo karne ya kumi na nane aliwahi kuainisha aina tatu za tawala katika Mataifa, Aina ya kwanza kwa mujibu wa De...
Back
Top Bottom