Wakuu, mtoto wa miezi minne anatakiwa anywe at least kiasi gani cha ujazo wa maziwa ya mama kuanzia saa moja asubuhi hadi saa tisa mchana. Tunatumia chuchu za watoto
Mbona App ya Twitter nimeitafuta sana App Store siipati wandugu? Kuna mtu anaweza nisaidia? Nilikuwa nayo mwaka jana ila ilipoanza kugoma goma nikaifuta,sasa nataka kuirudisha kila nikiitafuta siioni App Store.
Natumia iPhone,msaada tafadhali?
Huu mtandao umekuwa na shida sana hasa kwenye upande wa Airtel money.
Baya zaidi wana wahudumu ambao wana majibu rahisi sana ya tumelipokea tatizo lako ndani ya masaa 24 utapata majibu ila ni uongo mtupu.
Pindi unapowarudia baada ya hayo masaa 24 au zaidi wanasingizia wahudumu tupo wengi ngoja...
Kwanini taarifa za hali ya hewa Tanzania huwa hazirushwi na vituo vikubwa vya habari Duniani kama BBC na AL JAZIRA. Mara nyingi huwa naona nchi jirani ya Kenya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.