AY & MwanaFa walilipwa na Tigo ,almost billion 3 kwa Tigo kutumia ringtone ya muziki wao,Kama Mwakinyo alivunja mkataba na waliomshitaki wana mawakili wa uhakika watapata hela ya kutosha
Sijaona nyimbo yeyote toka kwenye Album yake alitoa mwaka jana inaitwa Dynastie 1 ya mwaka jana sikiliza hizi nyimbo then urudi utoe tathmini yako again
Nimwasikiliza wote na nimekuja kugundua kuwa wengi wanamfahamu Fally Ipupa kuliko Ferre Gola na sababu kubwa ni Ferre Golla anafanya Traditional Rhumba tofauti na Fally Ipupa ambaye yeye anafanya Modern Rhumba
Manchester United + ETH walitaka kumrudisha Greenwood but kulikuwa na pressure kubwa kuanzia kwa sponsors, wanasiasa,football pundit ,member wa timu ya wanawake na baadhi ya staff wa klabu walitishia kuandamana/kuacha kazi
Timu iliyumba sababu kubwa ni key players kuuzwa (De Ligt,De Jong ,De Beek,Ziyech) waliuzwa baada ya yale mafanikio na DOF Overmars kujiuzulu baada ya scandal ya kwanyanyasa wafanyakazi wa kike
Frank De Boer alichukua ubingwa wa Holland misimu 4 mfululizo lakini alishinda game 1 tu EPL
Hata ungekuwa wewe sidhani kama ungeondoka sehemu unayopata salary £350,000 + kwa wiki na hakuna timu nyingine ambayo ingeweza kukulipa
Phil Jones amekaa miaka kama 5 hachezi mpira mashabiki hawamtaki yeye yuko kimya anakusanya pesa
Hizi data sio za kweli
Majimaji,Mtibwa,Prison,Coastal ,Azam zimechukua ubingwa mara moja moja tu na hakuna timu ya Zanzibar iliyochukua ubingwa wa bara 1993 Yanga ndio alikuwa Bingwa akaenda Uganda kuchukua kombe la Africa Mashariki
Hakuna timu iliyojumuisha hilo kombe,So Small Simba,Mlandege nao walishachukua ubingwa wa ligi kuu (hawa walishachukua ubingwa wa Muungano)
Kombe la Muungano lilikuwa linafanyika baada ya kuisha kwa ligi ya bara na ligi ya Zanzibar ( so mabingwa wanajulikana) na ndio ilikuwa platform ya timu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.