tuna viwanja Mwasonga km 28 toka ferry na km 21 toka Kibada:
1. viwanja mita za kuanzia mita za mraba 601-800 medium density vipo
2. viwanja mita za mraba 801-2000 low density vipo
3. viwanja mita za mraba 2000 na zaidi super low density vipo
bei ni shilingi 9500 kwa mita ya mraba kwa viwanja...
Viwanja vipo mtaa wa Kongowe halmashauri ya mji Kibaha.
Viwanja vipo umbali wa kilometa 2.5 toka barabara kuu iendayo Morogoro.
Kuna umeme, Maji na barabara za mitaa zote zimechongwa.
Viwanja vipo karibu ya shule ya sekondari, Shule ya msingi na huduma za Hospitali.
Bei ni shilingi 6,000 kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.