Habari wanajf. Naitwa Mariam ni mwanafunzi wa diploma ya ualimu wa msingi ktk Chuo kimoja hapa Dar,Niko mwaka wa 1 ndio tumeanza juzi tu..Maisha Yangu yamekua ya changamoto nyingi na mapito magumu sana lakini Mungu ni mwema mwaka huu nikapata mfadhili wa kunisomesha ualimu akawa amenilipia ada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.