Nyumba kuukuu (iliyo katika kiwanja chenye nafasi ya kujenga nyumba nyingine (mita 25 kwa mita 70),inauzwa Kimara mwisho,mita 700 toka Morogoro Road,pembeni ya barabara iendayo Bonyokwa,eneo linaloitwa Ghorofani/makaburini.
Sababu ya kuuzwa ni kwa ajili ya matibabu ya mmiliki wake.
Bei ni...
Wakuu habari,tafadhali naomba ushauri wa mahali naweza kupata turbo ya Landrover 200TDI.
Pia ningependa kujua na bei zake.
Akhsanteni sana na Mungu awabariki.
Habarini wana JF wote. Poleni na majukumu ya kujenga familia na nchi.
Wakuu natafuta HTC HD2 ikiyokufa au nzima. Pia natafuta kioo cha Toshiba Satelite C660 pamoja na keyboard yake.
Nawatakia Pasaka njema.
Wakuu salaam.
Kuna ndugu yangu alikuwa anaumwa malaria kali,ikabidi awekewe catheter kwani alikuwa hajitambui. Baada ya siku mbili alitolewa huo mrija na kuruhusiwa kurudi nyumbani. Lakini wakati wanamtoa,wale manesi walifanya kosa na ikatoka damu nyingi sana,lakini mwisho wa siku wakasema...
Wakuu habari,kwa wenye simu,tablets na PC zenye matatizo sugu yaliyoshindikana,tafadhali tuwasiliane.
Matatizo yafuatayo nayapatia ufumbuzi,
1. Flashing (Kwa simu zilizo corrupt OS au simu zote zenye shida ya OS/firmwares (Android,iOS,Symbian,Blackberry OS,Windows Mobile & Windows Phone,BADA...
Hodi humu ndani kwa Waungwana wa JamiiForums.
Nategemea kupata mambo mengi mazuri kutoka kwenu wadau na mimi nawaahidi ushirikiano mkubwa toka kwangu kadri jinsi Bwana Mungu atakavyoniwezesha.
Hodiniiii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.