Nyumba kuukuu (iliyo katika kiwanja chenye nafasi ya kujenga nyumba nyingine (mita 25 kwa mita 70),inauzwa Kimara mwisho,mita 700 toka Morogoro Road,pembeni ya barabara iendayo Bonyokwa,eneo linaloitwa Ghorofani/makaburini.
Sababu ya kuuzwa ni kwa ajili ya matibabu ya mmiliki wake.
Bei ni...
Hivi ile amri ya kutopandisha watu kwenye malori haiwahusu hawa watu? Kuna siku Fuso yangu imekamatwa huko Kusini kisa imebeba wanafunzi kinyume cha sheria.
Wakuu habari,tafadhali naomba ushauri wa mahali naweza kupata turbo ya Landrover 200TDI.
Pia ningependa kujua na bei zake.
Akhsanteni sana na Mungu awabariki.
Wadau habari,nina OXE BEGIN 101 inaishia kwenye "OXE" tu,anayeiweza ajitokeze.
Pia nahitaji betri ya Magnus Bravo Z10.
Pia kioo cha Magnus Bravo Z11 kinahitajika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.