Sema mchakato wa kupata totozi huko ni mrahisi sana compare na kwa kina wema japo kina wema wanasifika. kwa wazee wa frog huko ndio uwanja wa nyumbani. I wish nifanyie utalii kule kusini nasikia wachezaji wanahituma
Kocha popoma lililoshauriana na bodi kumrudisha Casadei. Halafu hachezi
Kocha lililokariri sub ni Mudryk wakati kuna chezaji linazurura uwanjani na kibyongo
Kocha linaloamini kwenda Wembley ni achievement kwa timu kama Chelsea
Kocha lisiloweza kusoma mchezo na kukemea wachezaji waache utoto...
Ila wadau kutubali tu tuna kocha kilaza grade A, uwezo wa kosoma mchezo ni zero kufanya sub ndio below zero. Sterling anafanya utoto na kocha hana maamuzi
Nilichojifunza ni kwamba DAB ni zero brain pia wapinzani wake wengi ni wakurupukaji kiasi kwamba gape lake la kuwa zero brain na washindani wake linakosekana
Ila tuache utani Pocche ni below average coach. Sterling akiwa hana mpira anatembea kama walking dead harudi kusaidia kukaba lakini kocha yupo kwenye kiti haoni tatizo. Hii kocha ina uwezo mdogo sana wa kusoma mchezo.
Vijana wa kubet hii timu isipowatajirisha ndio basi tena kwenye mechi tano zijazo ni mechi moja tu ndio inaweza pata sare dhidi ya crystal Palace nyingine kama kocha bado ndio huyu msije sema hatukuwaambia
Mafanikio yapo kwenye nyanja nyingi, unaweza kuwa na mzigo kwenye account kwa kufanyiwa Matendo ya kudhalilishwa. Hivyo tutafute mafanikio yaliyo na balance kwenye nyanja tofauti
Hii timu inaishi kwa bahati bahati uwezo sifuri sahemu ya pasi wanabutua sehemu ya kushoot wanapiga pasi. Kocha ndio shati kabisa hana ushawishi wala pattern ya uchezaji
Kwamba ummy elimu ndogo? unajua level yake ya elimu? Sasa kama ummy ni elimu ndogo vipi boss wake? Kwanza wewe kweli ni mtaalamu wa afya mbona mwandiko wa kiswahili na majungu. Ummy ni kweli anaweza kuwa ni kiongozi dhaifu kwenye serikali dhaifu lakini usizidishe chumvi mpaka hoja yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.