Kwa sasa natumia dawa za asili (KISUNA), mafuta ya nazi yalochanganywa na dawa ya unga inaitwa kiberiti upele,! Ndo nakomaaa nayo,! Inaonyesha dalili za kupona japo ata kuna dawa za hosptl nazo mwanzon akat natumia zilionyesha dalili za kuponyesha but ikawa blabla!!!
Ndugu nimesoma maelezo ya iyo thread ulontumia pa1 na pcha yan kla ktu twaendana,!!! Na kbaya zaidi mm mpaka sasa cjapata tiba japo nimehangaikia sana!!! Nshameza dawa za minyoo, allergy,
fungus na kuchoma had cndano ya power safe lakin cjapata matokeo!! Sijui kiongoz kwa upande wako km...
Asante sana mkuu kwa ushauri wako, ila nilipma pia km umesoma vzur maelezo yangu apo juu lakin majibu yakawa negativr,!
So far so gud nimekutana na watu tofaut wenye tatzo kam langu na wengn kunpa matumaini niende pahala flan ntapata tiba lakin hola!
Ila kwa sasa nimapata dawa ya kiSUNNI...
Habari za umu wakuu,
Tafadhar naombeni msaada,!
Kuna ugonjwa umeibuka yasemekana ni wa mlipuko, unatoka vipere vingi sehem mbalimabali za mwili mpaka sehemu za siri na vinawasha hasa, tena ukivikuna wasikia raha!
Nimejaribu dawa za hospital za kila namna, fungus, allergy, minyoo, za kupaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.