m
mtafiti, chukulia mnatoka kwene mihangaiko ndani mnaingia sa moja, akolezea mkaa hadi ukolee, apike, mle si sa tatu tayri hyo?! mmekula unatarajia muende kulala mwenzio anasema anaangalia sultani, mbali na hvo, mnapoenda kulala na mwenzio kwa pamoja kuna raha yake sio anakuja ushalala...
Kumchunguza huyo mwanamke hujakosea, wanakukosoa sikubaliani nao, hata mm ukinipa ujuzi ntajaribu kumdukua shemeji wako, ila cha kufanya mpige chini, chukua hela ingia baa kunywa lewa hela ziishe ili upate hasira kwamba hili jitu limenifanya nifulie,baada ya hapo endelea na maisha, nipe na mm...
Hii tamthilia wanaita SULTANA hatari kwa ndoa yani unakosa tendo, unakuta mwenza sa mbili kapika, hadi na nusu umekula unakuta mara sultana hadi sa tano huko akija kulala umelala, tendo hujapata, nipeni uzoefu nyie ratiba mmezipangaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.