Mimi mwenyewe kwa upande wangu sikubaliani na swala la kuanza kukopeshana na kushare biashara na mwanaume ambae siyo mume wako kila mtu afanye vtu vyake mwenyewe wanaume wengi cku hizi wanapenda sana mtelezo kuliko hata wadada
Nina rafiki yangu ana kazi nzuri tu ila wameachana na boyfriend wake kisa kikubwa alimuomba hela kama mara mbili hivi na hajawahi kumpa sasa hii mara ya mwisho huyo kaka aliomba akopeshwe mil 1.5 alipe mwisho wa mwezi alipoambiwa kuwa haipo ndo akachange hadi kumuacha huyo rafiki yangu kuwa siyo...
Tena uyo ni wa kufukuzia mbali kabisa,mwanaume anaekupenda na mwanaume jasiri huwa anajiamini na mapungufu yako anayachukuwa na.kuyaboresha yawe mazur ila hawa wa bra bra wa kutaka bikra lool waendelee kutafuta
Huu mfumo dume unadumaza tu akil za watu wasiojielewa kwakwel reasoning capacity inakuwa ndogo sana ndiyo maana unakuta msichana akiachana na mume wake mnaanza maneno ana tabia mbaya na bra bra nyingine ni sawa na hapa mnasahau kuwa hata wanaume huwa wanakosea kwakwel tena tu, aya mtu...
Loool kwaiyo nyie ndo hamstahili kujitunza aaah,,yan unajua kuna vtu vingine vikiongelewa mtu inabidi ushangae sasa kupata shida na mapovu mengi kutoka ni uwende utafute hao wenye bikra maana hao ndo waliojitunza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.