Hapa ndipo alipofeli ukiacha kuchomeshwa na wenzie uchaguzi wa gari pia sio sahihi kwanza model hzo serikali ilishapiga bei karibu yote mengine yapo juu ya mawe na most of them zilikua rangi nyeupe
Ajali haina kinga ila ka huna roho ngumu kwny bus usikae mbele asee jamaaa wanaovateki kihasara sana hata mkifika salama kosa kosa za uso kwa uso na malori huwa kibao....
Mtu anaovateki semi 4 afu anarudi kwake dk ya mwsho kbs unasikia vuuu
Sisi wanafamilia owte lazma waamke siku ya asubuhi ya safari inaombwa dua/ sala ya pamoja ya kumuombea anayesafiri afike salama bada ya hapo mmoja tu ndio amasindikiza hadi stand kama kuna mizigo mingi ka hakuna unasepa one man army
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.