Hili ndio tatizo la mtu anaposhindwa kukutana na mchepuko wake kunakosababishwa na kushtukiwa na mkewe basi anakuja kutupumzikia humu maana anakosa la kufanya!!
Hiyo chopa ni ya mwekezaji mmarekani ambaye anafanya shughuli za utalii eneo hilo na anaruhusiwa kushiriki doria hivyo hiyo chopa yake ilikuwa katika doria na askari wanyamapori walikuwa chini na magari wakisubiri wapewe cordinates na huyo rubani baada ya kuruka na kuona wapi mizoga ya tembo...
Ninachokiona sio lazima sana jeshi ni hao askari wa wanyamapori wapewe vifaa, mafunzo zaidi na mazingira bora ya kazi yao yaboreshwe nawafahamu hao askari ni wazuri sana wakiwa kwenye kazi zao porini. Wanakosa support tu mfano hapo askari wanyamapori angeua jangili alafu baadhi wakakimbia...
Habari zenu waungwana,
Naomba kujuzwa kwa yoyote aliye na uhakika na hili kuwa kuna Rubani wa Helicopter ndugu Roger raia wa Uingereza kupigwa risasi na majangili na kufariki katika hifadhi ya Maswa karibia na Serengeti.
----------
Poachers shot and killed Capt Roger, a helicopter pilot who...
Ni kweli hatutetei na tunaukataa ubakaji daima na milele, yawezekana hili limetokea lakini hili linahitaji uchunguzi wa hali ya juu kama ulivyo patashaka McLover. Kwanini hakuwa tayari kupokelewa na kaka yake!?basi hata angekubali asindikizwe na kaka yake hadi huko alipokuwa willing kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.