Wapendwa Kitu kingine nimekuja kugundua Kumbe ile liquid ime expire toka mwez wa nne, japo nimempigia daktar kujua kama kuexpire kunaleza kukaleta false result amenambiaa inaezekana majibu ni ya kweli, Akashauri nirudie kumpima next time
Kaka ata sikulazimishii Huniaminii lakini ishu ndo ilikuwa hvo...Then sio mara moja kwake kuja apo kwangu na sikumchukuaa kwa lengo la kumgonga na kumuacha tu wala sikumwambia kuwa nampa pesa na hyo siku ya tukio tulikuwa tumelewa nafikir ndomana alikuwa haulizii chochotee...ata asubuh...
NAona wengi mnashindwa kunielewa kwasababu tu nimeongea maneno Machache, Lakini Kuclear ni kwamb uyu Bintii ameshawahi kuja kwangu Mara mbili kabla ya hii ishu kutokea na sikumgusa ata kdgo na tulilala kitanda kimoja...Siku zote mbili alizokuja tulikua tunapiga story...nlimwambia mambo mengiii...
Kiongoziii sijui nikwambie nn ili unielewe lkn tulikuwa tumelewa, tena nilimpa K vant...mimi kwangu nina vipimo box zima, sheria ya kwenda kavu kwangu mpka upime, halafu sasa nikwambie kitu katika hvo vipimo nlivokuwa navyo me sijawah kujipima ata kidogo, mademu wote wakija nawapimaga wao tu na...
Kiongozii, Alipima akijiamini na alitakaa mm nimuamini, hakuwa anataka kujua majibu yake, yy anasema alipima wiki mbili zilizopita so alitaka mm niamini na mm nlivompimaa sikuonesha mshangao wwte nikmwambia uko sawaa ndomana hajahojii
Sidhani kama nikimwambia hvo ataenda zahanati kupima, nadhani atapuuzia maana anajiamini na tulipima ili anihakikishie mimi kuwa hana ili tupige mechi kavu
Habari za Muda Huu Waungwana,
Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.