Search results

  1. B

    Serikali ya Saudi Arabia imejenga hoteli kubwa kuliko zote duniani

    hahahaaa hujui ulisemalo.....!!
  2. B

    Huyu baamedi ananipenda kweli?

    Usisahau wazinzi mwisho wao ni katka ziwa liwakalo moto......!! Shauli yako katubu umrudie Mungu bado anakupenda na wala co huyo baamed.
  3. B

    Nafurahia mapenzi nikiwa na binamu yangu kuliko mume wangu

    Alaaniwe aziniye na ndugu yake....!!! Co maneno yang bal ni maneno ya maandiko matakatifu. Kifup hapo shetan anajidhihilisha yeye na kaz zake kupitia kifumgo icho cha uzinzi na nduguyo. Fanya toba uombe msamaha fanya misa na ibada za kuvunja hii laana na kisha mpokee Yesu Kristo kama Bwana na...
  4. B

    Mashine ya kukumata wezi!!

    soon wataiiba hata hii thread......!!!
  5. B

    Mzazi Aliyefaulu Vs Mzazi Aliyefeli

    Hahahaa ila kunakaukwer ndan yake asee........!!
  6. B

    HEBU CHEKA KIDOGO KUHUSU MCHAGA

    Hahahaaaa aya bhana
  7. B

    Punguza stress na hii mbinu ya ajabu ya jogoo

    Hahahaaa nmeipenda asee
  8. B

    Sheikh Musa Alhad akiwa katika misa kanisani

    Aongozwe na sala ya toba tuu make inaonekana kakuelewa huko.....!!
  9. B

    Kiatu cha mfungaji bora ligi kuu Tanzania, ni kweli ni cha dhahabu?

    aaaaaaa huwez kuona kabisa chuma ilo et dhahabu gan inafanana ivo??
  10. B

    Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

    kuchanganikiwa kunaanzaga ivi........!!! mumuangalie sana huyu jamaa hajui k2 na ana mix mafaili alipo popote mumkamate asije akawatoloka huyu.
  11. B

    Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

    jaribu omba UDSM coz omba BAHM bacherol of arts in heritage management mwenyew nasoma hio apa ud ni nzur kias chake bt ts better ukaifaham vzur kwanza
  12. B

    Shikamooo baridi

    hii iringa bila shaka
  13. B

    Nani mkali?

    hamna jbu apo asee
  14. B

    Mkiwamaliza matabibu feki hamieni kwa wahubiri wa uongo

    kabra ya kufanya ivo unavotaka ni lazma kwanza tuhakikishe tumekuombea kwanza na ww.
  15. B

    Kikeke ambana Maalim Seif

    acha upumbavu ata ss tumeangalia iyo habar uache ujinga kabisaa hakuna kilicho fanyika hapo kwa kua muuliza na muulizwa maswali wote hawakua wanasikilizana ukome kuleta ushabiki wako apa.
  16. B

    Leo nimewavulia kofia wachawi

    karibuni wote nyumbani kwa Bwana bado anawapenda haya yote yataendelea kuwatokea wasio amin lkn kwa waamin hilo haliwez kutokea kamwe. Jesus loves you all.....!!!
  17. B

    Nimejaribu kumtongoza mchumba wangu kwa namba nyingine, amekubali kesho aje geto na wala hanijui

    Wacha wakome awa vjana wa saiv wanapenda KUFAKAMIA sasa amezani maziwa kumbe zanzi..........!!!
  18. B

    Kipindi cha Take One cha Clouds TV hakifai kwa maadili, kinatangaza Ushoga

    hii nchi ishakuaga shamba la bib af na ulimbukeni wa ndugu zetu kujifanya umarekani mwing wanaishia kua mashoga.
  19. B

    HESLB ni kielelezo cha wababaishaji

    afu daah asee yan hawa watu wababaishaji ad shida wametunyima mikopo watoto yatima tena wawakulima wakawapa hao watoto wao na watoto wa wakubwa wenzao af then watu wanalopoka et tuwe wazalendo tutakuaje wazalendo wakati nchi yenyewe haitufanyii uzalendo..........???
  20. B

    Ray wa Bongo Movie kubadili dini soon

    hahahaaaa ila kwer aseee....!!
Back
Top Bottom