We acha tu, deibii tumesepa yeye atatokaje[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji13]. MAMA alikuwa shujaa wetu manake alitunyuka all time we what? We irrigate our bedroom.
Hili la ardhi kuwa mali ya serikali hata mimi silitaki kabisa, ardhi ni mali yangu iwe na madini, mafuta hata misitu, alaa,. Leo ukigungua madini faster usheondolewa, """BULYANGHULU"""
Sifa zikizidi ujue utashindwa tu, once nilifurahi nikajua yes tumepata but now I'm prove wrongly turn, hekima na busara ii wapi???!!! Ubabe na kiburi cha uzima kina mwisho.
Wanao mshauri na kutaka kuua upinzani Tz ndio wabaya WA CCM, wanaficha nini, wanaogopa nini upinzani? Je matatizo yetu yanaletwa na upinzani??? Kumbuka adui WA CCM anaishi ndani ya CCM na SIO huko upinzani, believe or not. [emoji109] [emoji109] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Farao na wachawi wake waliteswa na watu wawili tu, MUSA NA HAROUN, SEMBUSE YEYE ANAYEMKUFURU MUNGU??? KIBURI CHA UZIMA NA MJIVUNO YAKE YANA MWISHO MBELE ya MUNGU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.