Mpuuzi mkubwa unaujua ujamaa wewe?Wakati wa kujifanyia mambo kiholela umeisha.Subiri maelekezo toka Ikulu.Mmetuonea vya kutosha,mmetukandamiza vya kutosha,mmetusylubisha vya kutosha tumeleta mzalendo Ikulu mwezi mmoja tu unajamba he miaka si utajinyeanyea kila siku.
Acha kupotosha uma,ujamaa wa Tanzania wa nyerere ulikuwa umekwenda mbali coz viwanda vilikuwa vingi kuliko sasa,kilimo mazao yalikuwa yanspatikana kwa wingi kuliko sasa na elimu ilikuwa safi.Hatuwezi kuruhusu MTU kuwekeza Eneo la wazi.Afate sheria acha kujipofosha macho na akili kiss Tamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.