Mambo yasiyo kuhusu unayachkonoa ya nini?
Wewe si mwanachama wa ccm pia si msemaji wa wanachama kiherehere cha nini?
Fuatilia yanayokuhusu..mengine utaitwa mbea soon.
Ukweli gani zaidi ya hujuma? Kama sukari isingefichwa unadhani haya yangekuwepo? By the way mim si ccm Ila nimpenda haki kama rais wangu...tunaamini dhamira ya rais ni njema sana so sioni kama nisawa kuanza kumsemasema mtandaoni..
Wakati JK alipokuwa akitupuuza mlisema mengi Leo hii rais anachukua hatua tena za wazi zenge dhamira njema mapovu yanawatoka..mim nawaona kama vile waropokaji tu
Wafanyabiashara wameamua kuhujumu serikali wala hamna haja yakutokwa na mabovu humu, binafsi na unga mkono juhudi za serikali najua tatizo hili ni la kitambo kidogo then Hali itakuwa ya kawaida.
Acheni maneno ya dhihaka na midhaha na mkumbuke kuwa hii si serikali dhaifu mliyoizoea serikali hiii...
Halafu hii kutafuta umaalufu huwa sometimes Ina waharibia vibaya..yaani ukawa sasahiv wanatapatapa hawana pakushika. Tuna waheshimu lkn itafika mahali tutaanza kuwadharau maana mmekosa hoja zenye mshiko..muache rais afanye kazi.
Kwa bahati nzuri sikuwa nazungumza nawewe, punguza tabia za kike kudaka maneno yasiyokuhusu..oooh sorry nilisahau kama hii ni tabia yenu wamatopeni..hata wewe kama umechoka kuishi matopeni tunakukaribisha huku lkn plz ukija tabia za huko ziache hukohuko huku ni soka tu tena la kimataifa siyo...
Kumbe Jery Muro anawaumiza wengi!
Point namba 12 inaonesha kama umetumwa na Dewj, na point 15 inaonekana nawewe pia unapenda majungu...anyway kama umechoka kukaa matopeni karibu kwa wa kimatafa.
Pole Leah wa watu, nikusifu kwa hekima na subira uliyonayo juu ya jambo hillli, naweza kusema wewe ni strong woman binafsi nimejifunza mengi kupia sakata lako. Naamini kama ulivyotumia hekima kwa hatua za awali hata hapo ulipobakiza unatumia hekima pia..fuata moyo wako
Umeongea ukweli lkn nikupe ukweli uujue chadema haina dhamira ya dhati kupambana na ufisadi kama anavyojinasibu ukweli nikuwa wanatumia kama gia kupata kibari kwa wananchi waonekane wanaweza kuwa na jipya.
Hawa jamaa ni wabaya sana siku tukilogwa tukawapa nchi hutakuwa tumekwisha vbya..
Wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.