Masikini watu wa watu, hivi huyu aliyewachongea anajisikiaje? Haoni kama amesababisha shida, adha , umasikini, ugomvi, husda, uhasama, matengano,upweke,majuto na mengne yafananayo na hayo
Mbakaji mwenyewe yupo humu humu anaingia Mara kwa Mara kujua ushauri utakaopewa.....
Kifupi ni hivi kama kweli hukupenda ulichofanyiwa endelea na kesi na kama ulipenda basi achana na kesi jilengeshe tena.....pili kuhusu kukubaliana kuolewa naye itakughalimu kwasababu huyo hakuwa na nia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.