Acha kuongea kwa jazba, tulia jieleze utaeleweka hata kama umetumwa na Membe mwenyewe. Haihiji kuwa na degree kuelewa juu ya sakata hili, labda nikuulize maswali mawili:
Unakumbuka aliyempa kiburi Idd Amini Dada kutuvamia na kutusababisha tuiingie vitani mwaka 1978 kule Kagera?
na mbona huyo...
Mimi naona umekurupuka kuposti hichi ulichoposti hapa, au unaweza kuwa wewe ni mpinzani aliyejipanga kukosoa kila kitu as if wewe huna mapungufu..vingevyo unaweza kuwa ni miongoni mwa wenye majibu. Muache rais afanye kazi yake.
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa Neema ya uhai na afya.
Pili napenda kuchukua wasaa huu kuwashukuru wote wanaoifanya jamiiforum kutufanya tupate pa kusemea.
Tatu nawashukuru wadau wote wa jukwaa hili na jamiiforum kwa ujumla, kweli wadau mmekuwa na mawazo na michango inayotia moyo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.