hakuna haja ya kuogopa wewe omba Mungu akusaidie pia jitahidi kusoma neno la Mungu itakusaidia ikiwa siyo ya heri yataita lakini ikiwa ni kheri ni kumuomba Mungu itimie!
Ndugu wana jf,
Mimi ni mteja & nbsp; wa siku nyingi & nbsp;wa vodacom, ila kitu ambacho nimeona wamekuwa wakitangaza vingine na kutekeleza kitu kingine mala nyingi ambacho hunisababishia hasara mala nyingi nisizotarajia.
mfano mala nyingine wanakuambia lipia shilingi kazaa utumie internet...
Ndugu wana jf mie ninasumbuliwa na tatizo la kujisikia shavu la upande wa kushoto kukosa nguvu au kulegealegea hivi, kuna kipindi ilitokea mishipa ilikuwa inauma nilikaa baada ya muda hali ikatoweka na badae ikajitokeza tena maumivi ya mishipa kwenye mdomo kuuma pia ikapungua na sasa najisikia...
ukiwa na ya mwilini ni tabu sana! ukiongozwa na mwili utapata shida sana! Je unajuwa Waasisi wa ukristo na wa Uislamu. hawa ni wawili tofauti na wanatofautiana kwa vitu vingi na nikiona pale ninapo abudu wamekubali tumfuate muasisi wa dini nyingine dini hiyo nahama!
uislam ni Muhammad
Ukristo...
ndugu zangu katika jf nimedokezwa sasa hivi kuwa kanisa TAG Mbagala kwa makamu askofu mhiche Waislam wamevamia kanisa kuvunja madhabahu na kuchoma moto magari na askari nimeambiwa wapo eneo hilo. inasemekana sababu ni mtoto mmoja wa muumini alikojolea msahafu. wale wanaoishi maeneo jirani naomba...
Ndugu zangu wiki mbili zilizopita nilikuwa na sumbuliwa na kuchezacheza kwa ngozi ya juu inayofunika jich lakini kuanzia juzi imeacha, lakini tena kuna mtu ambae anaishi jirani kaniambia ana zaidi ya wiki mbili jicho la kushoto linadalili hizo
je hii husababishwa na nini?
chonde msaada jamani!
wanafanya hivyo kwasababu shilingi yetu haijatulia inashuka utafikili inatafuta kuwa mshindi wa kupolomoka thamani!
hata wafanyakazi wanatamani mishahara walipwe kwa dola kwakuwa hizi pesa zetu hizi leo utaambiwa mshahara laki tatu ikiwa inaweza kununua gunia tatu za mpunga baada ya miezi...
Umesha fanya biblia ni hirizi. pole sana ila nakushauri kusoma neno liwe ndani yako na uijue haki yako ya kupata usingizi mzuri na ulale kwa usalama. dawa ni kumkabidhi Yesu maisha yako hapo utakuwa umemaliza kila kitu.
yanayo nipasa kumfanyia kiongozi nitamfanyia! heshima nitampa kwakuwa mie wajibu wangu ni kumpa heshima!
nakumwambia matatizo yetu katika maeneo ninayoishi kama ni Mbuguni, Kijenge, Usariva au ungalimited ndicho nitakachomwambia lakini siyo kumlaumu kama vile yeye ndiye aliyesababisha hata kama...
LEAVE WHAT YOU ARE DOING AND LET US PRAY !!! GIVE THANKS :
Almighty Father creator of Heaven and earth and everything in between,We humbly come before you with thanks giving in our hearts, asking for your never ending mercy We lift your name on high, above any name that has ever existed, our...
mila zilijaa mambo mengi ya aibu. unapopunguza mambo fulani unapunguza uzito wa mila hizo na badae kutoweka.
mfano kuna baadhi ya mila mwanaume akitaka kuoa ilikuwa ni lazima awakodi jamaa zake halafu wanamvizia msichana anapokuwa ametumwa kama vile kuchota maji ndipo wanapomkamata na...
kupakana mafuta kwa kutumia mgongo wa chupa huko!, wanataka waonekane wanamuenzi mzee wa watu wakati wizi mtupu!
sifa hizo anazipenda mtu mmoja hivi anatamani hata nchi iitwe jina lake ili ionekane aliwahi kuwa kiongozi wa ngazi fulani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.