Search results

  1. dosama

    Lema: Vijana wa CHEDEMA wanyimwa dhamana Singida kisa kuimba nyimbo ya Taifa na bendera ya chama

    Nilikwenda Singida kuwasalimu KM BAVICHA Nusrat/ Mwenezi Twaha Mwaipaya, sikuweza kuwaona wanashitakiwa kwa kosa la kuimba wimbo wa Taifa huku wakiwa wameshika bendera ya Chama. Wote wamenyimwa dhamana, kwani hati ya kiapo cha DPP inasema wao kukaa kwao nje ni hatari kwa usalama. Mahakama...
  2. dosama

    Bernard Membe rasmi ACT Wazalendo, kutambulishwa kesho

    Kesho tarehe 16 Julai 2020, aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje kwenye serikali ya awamu ya 4, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia Na kachero mbobezi @BenMembe atazungumza na Wanachama wa @ACTwazalendo Ukumbi: Mlimani City Muda: Saa 4.00 Asubuhi. Waandishi wote mnakaribishwa https://t.co/toK4YCjEfj
  3. dosama

    Askofu Bagonza: Utitiri wa watia nia na wenye kamba miguuni

    Tumemaliza hatua ya kutia nia. Sasa ni kuchukua fomu. Utafuata uteuzi. Mawili yamejitokeza katika utiaji nia na uchukuaji fomu. Kwanza kuna utitiri wa watia nia katika chama tawala na ukame wa watia nia katika vyama vingine. Kwa nini? Nitaeleza hivi punde. Pili, kuna sura mpya zisizotegemewa...
  4. dosama

    Shilingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya US Dollar, Euro na Paundi

    Kwa rate ya leo ya kuuza na kununua fedha hizo za kigeni ni kama ifuatavyo 1. USD inauzwa kwa shilingi 2317 na kununuliwa kwa shilingi 2354 2. Euro inauzwa kwa shilingi 2580 na kununuliwa kwa shilingi 2700 3. Paundi unauzwa kwa shilingi 2854 na kununuliwa kwa shilingi 2974
  5. dosama

    Kwanini CCM ndio huwa wakwanza kutangaza wagombea wao na Vyama Pinzani kuwa vya mwisho kwenye chaguzi zetu?

    Kama.vikao vya ndani vonapigwa mabomu watakaa lini wafanye kama wafanyavyo ccm kwa uhuru na uwazi kama kila siku polisi wanatumia njia zile zile
  6. dosama

    CCM asili kwafuka Moshi, mwenye pesa ndio mshindi. Polepole ahusishwa na Rushwa

    MWAMBIE POLEPOLE KAMATI KUU CCM IMECHEMKA NA IMEKOSA MENO Na Thadei Ole Mushi Jana nilisema mwenye fedha ana asilimia 90 za kushinda uchaguzi huu wa kura maoni ndani ya CCM kutokana na mfumo ulivyo ndani ya chama. Niliwaambia Jana hakuna mahali ambapo Mjumbe wa kwenye Shina anaweza kukataa...
  7. dosama

    Askofu Bagonza: Uhalali na uongozi haviachani. Ukiona matumizi ya mabavu na maguvu vinaongezeka, ujue uhalali wa uongozi umetoweka

    "Uhalali na uongozi haviachani. Ukiona matumizi ya mabavu na maguvu vinaongezeka, ujue uhalali wa uongozi umetoweka. Ili kutumia mabavu ni sharti utu uwekwe pembeni na unyama uvaliwe"-Askofu Bagonza #ChangeTanzania
  8. dosama

    Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

    Kimsingi nafurahi kuona wanawake wakipambana katika michakato ya KIDEMOKRASIA na kushinda ndani ya chama. Hii ni hatua kubwa. Inadhihirisha hakuna ukiritimba wa mifumo dume. Wanawake wengi hadi sasa wameshinda kura za maoni. Ni taswira nzuri kwa taasisi imara ya kisiasa. https://t.co/Tdx4hA9aLn...
  9. dosama

    World Bank: Mwaka 2012 kulikuwa na Watanzania masikini milioni 12; hadi kufikia mwaka 2018 waliongezeka masikini milioni 2!

    In addition the @WorldBank report finds alarming poverty vulnerability level in Tz. For every FOUR people who move out of poverty in 2018 THREE returned to poverty in 2019. In Tanzania, between 2012 and 2018 (latest data available) 2 million more people were living in poverty per World Bank...
  10. dosama

    Askofu Mndolwa: Wanasiasa msichanganye Dini na Siasa. Mkifika nyumba za ibada mvue makoti yenu muwe waumini wa kawaida

    HABARI Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglicana TZ, Maimbo Mndolwa, amewataka wanasiasa kuacha tabia ya kuingiza siasa kwenye nyumba za ibada, badala yake wayavue makoti yao ya siasa pindi wanapoingia kwenye nyumba hizo ili kuendelea kuidumisha amani iliyoachwa na waasisi wa nchi...
  11. dosama

    Uchaguzi 2020 UDP yawahurumia CHADEMA kwa kujiita wapinzani, yawaomba CCM wawaachie walau majimbo mawili

    So it's not the voters who decide who to be leaders but rather the ruling party @ccm_tanzania does so! And y'all out there expecting #FreeAndFairElections? Let's come together to fight for #TumeHuruYaUchaguzi if we really want our votes to be meaningful. #ChangeTanzania https:
  12. dosama

    Serikali yasaini mikataba ya Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko (112.3km) Jijini Dodoma

    Mkopo mwingine huo lakininkwann rami haiensi vijijini kwenye mashamba, kazi ninmijini ili iweje
  13. dosama

    Uchumi wa Kati: Wakulima wa korosho walia kukosa pembejeo, wasema umaskini unaongezeka

    Wakulima wa korosho kutoka vijiji vya Wilaya za Newala na Masai mkoani Mtwara wamesema kuchelewa kwa pembejeo za kilimo pamoja na watalaam kutochukua hatua mapema wanapotoa taarifa za magonjwa ya mimea kunachangia kudumaza juhudi zao za kuondokana na umasikini unaowakabili.
  14. dosama

    Malawi hawakuipata tume huru kwa maridhiano. Kuna waliokufa, waliokuwa vilema na wameidai kwa maandamano zaidi ya miezi 10. Hii ndio Afrika

    So how did Malawians fight for electoral reforms They organized and protested. They were shot at by the police, so they organized some more & protested in bigger numbers. When the president refused to listen to their dem ands, they marched on State House. It took 10 months...
Back
Top Bottom