Huyo ameenda.ni mali ya serikali kwanzia hapo .dreams ndo zimepotea hivo !!!!!kila mtu anamaliza Olympic ya maisha kwa style yake.huyo the rest of his life anaenda kuispend huko.
Kuna msemo wajanja husema,kusoma,hujui,sio makosa yako,Wenda swala ni ada,hata na picha pia udhindwe kuelewa kuwa zinamaanisha nn!!kulingana ni hii ilivyopendelewa na Mungu!!kila kitu tunacho,.Lakin sasa angalia uchumi wetu!!angalia gape lililopo kati ya wenye nacho na wasio nacho!!in...
Si watumie hata RAV4!!!how special are they kwamba lazima watumie haina hiyo tu ya magari?watarudi tu 2020,kama nyamagana,hakuna kurudi kama ndo maswala yanayowapeleka
Jaman,na wale tuliomaliza 2012,kuna njia yoyote twaweza tumia angalau hata kupa boom tu jaman!!mbona kuna ubaguzi hadi kwenye sector ya elimu jaman,wengine kwa walio kuwa na matatizo ya kuugua,jamaa hata kusikia claims kama hizo hawaitaji!!tufanye nn jaman!tumekwama.msaada wa mawazo ndugu zangu.
Jaman nasi tusaidieni mawazo tuliomaliza 2012,ni njia gani twaweza tumia ili tunufaike na mkopo huu wa serikali,make mambo yanatuwia magumu jaman,naomba ushauri ndugu zangu,nifanye nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.