Habari ndugu zangu wana JF!
Naitwa paul nipo udom 1st yr, hakika maisha yangu ya hapa chuon yamekuwa magum na hvyo kpelekea kkata tamaa ya kuendelea kusoma, ukwel bodi yetu ya mikopo imekuwa chanzo cha matatizo haya yote,!! ni miongon mwa wanafunzi walioomba mkopo lakini kwa bahati mbaya...
ucjal ndugu yangu, mungu mwema atafanya njia pale pasipo na njia, ukwel hata mimi walivotoa lot ya nne wakasema ndo ya mwisho, niliumia sana ndugu yangu, lkn nikajipa moyo ya kuzidi kuomba mungu kika cku na muda wote!! jitahd ufatilie mungu atakunyoshea mkono wake na kufungua baraka, huwez amin...
Mimi npo udom first year nmepata mkopo lot ya sita lakini mpaka saizi jina langu cjui litafika lini ili nisain bumu, kwa mwenye uelewa wa hli tufahamishane !!
jipe moyo ndugu yangu, mungu mwema usichoke kupigania haki yako, hata mimi nimehangaika sana kuhakikisha nafanyiwa allocation, hatimaye nmepewa lot ya sita,! up to now ata cjui kama jina langu lmefka chuon ili nisain! tumwombe mungu my friend mtaoma86
khaaa, jaman kwa sisi tuliopata mkopo lot ya sita majina yataletwa lin chuon!? kwa mwenye uelewa na hili kwa maana wale waliopata mwanzon mpaka saiz wote wameshasaini wanakaribia kusain bumu la pili , kwa sisi hatujui hatma yetu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.