Laptop yangu ya Hp ina tatizo kila kitype baadhi ya button kwenye keyboard kinacho display kwenye screen kingine mfano nikitype F inatokea FV. D inatokea DC. S inatokea SX, A inatokea AZ. Nimejaribu ON-SCREEN keyboard inafanya kazi vizuri bado sijajua hii keyboard tatizo ni software au...
Kheri ya mwaka mpya wanajf. Nimekuwa na ndoto ya kupanda mlima Kilimanjaro kwa miaka kadhaa sasa ila kwasababu za hapa na pale (hasa uchumi) nimeshindwa kutimiza ndoto yangu. Nina imani siku moja ndoto yangu itatimia.
Basi naomba nipate kuujua tu mlima wetu mrefu kabisa barani Africa. Mwenye...
I am looking for an illustrator to team up together to work on children's magazine project. Magazine will be packed with serialized stories, eye-catching illustrations, drawing suggestions, puzzle, and funny cartoons.
If you talented at drawing, and have creativity and imagination this might be...
Ndiyo..natamani sana kujifunza kuchora au kubuni animation especially cartons kwa ajili ya magazine hapo mbeleni. Yeyote mwenye ujuzi na haya mambo anipe details na ikiwezekana contacts tujue tutaenenda vipi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.