Maisha yana kwenda kasi sana, Wakati Yanga inafurahia kupata udhamini wa Bilion 12.335 kwa miaka mitatu, Wenzetu Simba wao wanafurahia kufikisha Followers milion 1 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mashabiki wa Simba acheni kufanywa wajinga na Manara, jiulizeni kwanini Morison mechi ya mwisho na JKT hakucheza? Muulizeni kwanini Morison hakusafiri na kikosi kwenda Sudan. Ukweli ni kwamba Morison kasusa na kagoma kufanya mazoezi na poor discipline. Mpo kama mazezeta
CHADEMA na CUF jifunzeni kutoka kwa Hillary Clinton na Democratic party, baada ya matokeo kutangazwa kwa matokeo Hillary akampigia Trump kumpongeza kwa ushindi huo. jifunzeni kukubali matokeo. Kwa jinsi alivyokuwa anaungwa mkono Clinton na leo kapigwa chini ingekuwa nyie mngekuja na matokeo...
Kwaheri Hans hii ndio Tanzania, Kichwa cha mwendawazimu, wamekuletea kocha bila kuvunja mkataba na wewe, ni dharau kubwa, ukienda kwenu ulaya kawaambie kwanini mpira wetu haukui, kocha aliyeaminiwa na taifa kama kocha mkuu leo amekubali kuwa kocha msaidizi wa Yanga,
Hans ukienda Ulaya kawaambie...
Assalaamu 3alaykum warahmatullahi wabarakaatuh
BREAKING NEWS
Aliyekuwa Mfalme na gwiji wa muziki wa taarabu Afrika mashariki MZEE YUSUF ameamua kuachana na mziki na kumrudia Allah.
Mzee Yusuf ametangaza Nia yake hiyo leo ijumaa tarehe 12-08-2016 Muda mfupi baada ya kumaliza kuswali swala ya...
Huyu dogo anaitwa Yusuph Mohamed Nassor (2), baba yake Mzee Ahmed Nassor (67) amesema wakati ana mwaka mmoja na nusu alisema anataka kuwa Rais hivyo anamuandaa kuja kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2050 kupitia Chama Cha CCM. Yeye na Baba yake wamekuja Dar es Salaam kutoka Singida kwa usafiri wa...
Mwasisi wa CHADEMA, Mzee Mtei amemfananisha Rais Magufuli na Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere katika kukabiliana na masuala ambayo ni changamoto na muhimu katika taifa.
- ''Rais Magufuli anatoa mwanga unaoonyesha makosa ya nyuma na nina furaha kuona Watanzania wanapewa tena nchi yao na kufufua...
Simba wametenga mil 200 kukamilisha usajili wa msimu mzima. Huku yanga wamemnunua mchezaji mmoja tu Mil 240. Alafu michuano ya ligi kuu itakapo anza bado Mashabiki wa Simba watasema YANGA inabebwa. Sasa kama wewe unasajili wachezaji toka mwadui na Jkt ruvu.
Tena wakuokota okota. Utafanya...
Serikali imesema kuwa Kigoma, Geita, Kagera, Singida na Mwanza ndiyo mikoa mitano maskini zaidi nchini, aidha mikoa ya Dar es salaam, Kilimajaro, Arusha, Pwani na Manyarandiyo mikoa mitano yenye ahueni ya umaskini nchini
Waziri wa fedha na mipango Dk Phillip Mpango alisema hayo jana wakati...
Huwa nawaza kila wanapotoka katika ukumbi wa bunge, kwa kawaida huwa wanaamka alfajiri wanajiandaa kwa kupiga suti matata, wanabeba mabegi ili kuwawakilisha waliowachagua lakini muda wa uwakilishi ukianza wanatoka nje. Hahaha sasa kuna maana gani ya kujisumbua kuamka na kuulamba na kuamka mapema...
Kumekuwapo taarifa potofu kwamba Wahisani karibu 10 wamesitisha misaada yao kwa Serikali ya Tanzania. Taarifa hizi ni za uongo na upotoshwaji na zinalenga kuleta taharuki miongoni mwa jamii ya watanzania.
Binafsi kama raia ili kujiridhisha nimewasiliana na Wizara ya Fedha na balozi mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.