Mwaka 1998 nikiwa nipo darasa la sita familia yetu tulihama kutoka mkoani kuja Dar, mzee alikuwa ameishapanga mitaa ya Mwananyamala karibu na soko kipindi hicho ile bara bara ilikuwa haijawekwa lami, sasa nyumba tuliyokuwa tumepanga ilikuwa na mabafu mawili, bafu moja lilikuwa halina mlango na...
Mkuu huo ni utaratibu wa zamani siku hizi unafanyika online, unaenda shule anayotaka kuhamia mkuu akikuambia nafasi ipo unawasiliana na shule anayotoka mwanafunzi wanakupa prem namba ya mwanafunzi Kisha unawapatia shule anayohamia hiyo prem namba, wanamuwekea nafasi tunaita reserve Kisha shule...
Chuo anapata Wala usihofu maana cut point ni 4 mwaka Jana Kuna vijana wengi tu nimewafanyia application na walikuwa na CEE na Sasa wapo vyuo vikuu na mkopo walipata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.