Matokeo ya uharakati wa wanawake feminism, zinapopitishwa sheria za kupendelea wanawake na kukomoa wanaume wanawake wanajisahau na wao watazeeka watoto wao wa kiume au wa kike wakifariki wao wazee hawatapata kitu jasho lao kwa mtoto linaenda kwa mke na ndugu zake tu.
Ah wapi hii ni kauli ya kutetea ushetani wa wanawake, mtoto kama siyo damu yako aende kwa baba yake yeye na mama yake. Mwisho wa siku unalea halafu inakuwa kama Diamond Platnumz unaambiwa we mzee Naseeb siyo baba baba ni mzee Nyange. Tushukuru Mungu DNA imegunduliwa. DNA ndiyo mwarobaini...
Nguvu ya Urusi ikirudi chadema na vyama vingi vinafutwa. Kina Yeriko Nyenyere wanasahau wana uhuru wa kuongea na kukosoa sababu dola ya Urusi ilikufa, wangekuwa wapo Urusi muda huu ama wako jela au wamekufa.
Israel, UK na US wanajisumbua kuchagua pa kupiga, wkt Hamas, Al Qaeda, Isis, Hizibure na Houth hawachagui, hawaangalii raia wala askari, they should give them a taste of their own medicine, ugaidi ungekoma duniani.
Jeshi la polisi litoe wito pia watu wawe waaminifu katika ndoa zao, na ambao hawajafunga ndoa wawe waaminifu kwenye mahusiano yao, la sivyo mauaji hayatapungua kamwe. Siku hizi watu wanauza ngono bila kujali ana ndoa au mahusiano, tamaa ya hela mbele sana. Siungi mkono kuua kwa namna yeyote...
Majibu ya kina Khadija Kopa haya! Na kama mtu hapendi wakristo ahamie Saudi Arabia au Afghanistan, hii ni nchi ya watu wa dini zote na wasio na dini. Azam iliomba kutoa huduma kwa watz wote lazma iache ubaguzi ndiyo sheria za nchi.
Nanukuu "kaambiwa hata mtoto siyo wake" yaani walikuwa wakijuwa ila walikuwa wakimchora tu na huduma anatoa! Ndiyo maana matukio ya mauaji yanazidi kuongezeka kila kukicha, wanawake wengi ni wezi na matapeli.
Hao Houth ni wajinga kuliko, wanashambulia meli za kiraia na waingereza wakishambulia vijumba vyao vya kiraia na mahahazi yao huko Yemen watalia genocide.
Kama mnadai mlipwe, muhudumiwe , matumizi nk nk tuwafikishe tena kileleni, kama mnalala kama maiti au magogo huwezi fika kileleni, zungusha kiuno utafika hadi mount Mount Everest
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.