Ndugu wana JF,
Mimi ni kijana mwenye mke na nnamtoto kwa sasa, nilianza mahusiano na mke wangu akiwa ndo amemaliza chuo, maisha yaliendelea ila ugomvi wa hapa na pale kwenye Mahusiano yetu umekuwa wakawaida hadi tumeoana.
Tatizo kubwa lililokuwa linatugombanisha ni mahusiano yake ya nyuma na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.