Wapendwa,
Heri ya mwaka mpya!
Naomba nisaidieni mwenzenu,
Nimehangaika sana kutafuta Hair remover, ile dawa ya kuondolea nywele na vinyweleo mwilini, unapaka sehemu unayotaka kuondoa nywele/vinyweleo, unasubiri kama dakika tano hivi, kisha unaosha kwa maji na nywele/vinyweleo vyote vinakuwa...
Wapendwa,
Natumaini hamjambo na mnaendelea vyema na majukumu.
Naomba kwa mwenye latest information anisaidie kujua kusajili kampuni ya up to Tsh 500,000 nominal capital inagharimu jumla ya Ths. ngapi na zinahitajika nakala (copies) ngapi za memorandum and articles of association.
Asanteni...
Wapendwa,
kwa wale waliomsikiliza Mzee Warioba mtakumbuka kuwa kidogo hali ya hewa bungeni ichafuke pale Warioba aliposema kuwa tume yake inapendekeza suala la uraia libaki kuwa la muungano, yaani muungano uwe wa nchi mbili, serikali tatu ila uraia wa nchi moja (Tanzania).
nionavyo mimi, kwa...
wapendwa, habari za siku nyingi.
kwa sasa niko dar na katika kujiweka sawa na mambo ya mtandao nikanunua modem ya tigo ya kutumia kwenye laptop yangu. ila cha kwa kweli sijaifurahia huduma hii. niliponunu waliniambia ina GB 3 ila katika kuitumia haina hata KB 1! hilo si la kusumbua sana ila...
wapendwa, habari za siku nyingi.
kwa sasa niko dar na katika kujiweka sawa na mambo ya mtandao nikanunua modem ya tigo ya kutumia kwenye laptop yangu. ila cha kwa kweli sijaifurahia huduma hii. niliponunu waliniambia ina GB 3 ila katika kuitumia haina hata KB 1! hilo si la kusumbua sana ila...
Katoliki wasogeza mkutano wa CUF
na Asha Bani
MKUTANO mkubwa wa hadhara uliokuwa ufanywe na Chama cha Wananchi (CUF) katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam kesho, umeahirishwa kutokana mkutano wa kimataifa wa uponyaji unaoendeshwa na Kanisa Katoliki, jimbo la Da es...
HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
MHE. JOSEPH WARIOBA KATIKA MKUTANO WA WAANDISHI WA
HABARI TAREHE 19 JUNI, 2012 KATIKA UKUMBI WA
KARIMJEE, DAR ES SALAAM
Ndugu Wanahabari,
Nianze kwa kuwashukuru kwa kuitikia mwaliko wetu. Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilianza kazi mwanzoni...
wapendwa,
nimehuzunishwa na habari za kuchomwa moto makanisa huko Zanzibar!
napenda kusema kuwa, kanisa laweza kuchomwa moto na hata biblia pia!
kisichoweza kuchomwa moto ni Mungu tu. wale maaskari wa kiyahudi walipijitahidi kumuua Mwana wa Mungu kwa ruhusa ya pilato aliyeshinikizwa na wakuu...
1.
Wapendwa nijuzeni, huko ndani kuna nini?
Tangu zama nilidhani, huko ndiko utamuni,
ni punde nimebaini, si kutamu asilani,
Huko ndani kuna nini, wapendwa nijuzeni
2.
Kiumbe huyu makini, hakomi kurandaranda,
Amfumapo mwandani, huparamia kitanda,
Kasiye kama tufani, hutupia mbali mkanda,
Huko...
Aliyekaribishwa Ikulu ampa JK sharti la kupanda mlima
Send to a friend
Wednesday, 14 March 2012 19:13
0diggsdigg
Salum Maige,Geita
SAKATA la muhubiri na muumini wa Kanisa la Kibaptist lililopo Wilayani Geita la kufunga bila kula kwa muda usiojulikana akifanya maombi kwa ajili ya Rais...
Na Mwema Vedasto
IMANI ni fumbo kubwa ambalo limemzunguka mwanadamu tangu mwanzo wa historia yake. Watu wanatafuta majibu ya maswali yasiyoelezeka kisayansi, watu wanautazama ulimwengu jinsi ulivyo, watu wanataka kujua asili ya ulimwengu wanamoishi, asili yao wenyewe, na zaidi wanataka...
Dereva wa DC Mwanga matatani
Send to a friend
Sunday, 04 March 2012 13:02
0digg
Na Daniel Mjema, Moshi
DEREVA wa Mkuu wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, ameingia matatani baada ya kudaiwa kukiri kumpa mimba mtoto wa bosi wake huyo.Taarifa za dereva huyo (jina tunalo) kumjaza mimba...
wapendwa,
poleni sana na msiba mkubwa wa mh. Regia. siku niliyofunga ndoa ndiyo siku aliyofariki na nilipata habari nikiwa salon nikiandaliwa kwa ajili ya harusi yangu, niliumia, lakini sikuwa na la kufanya.
tumuombe raha ya milele mpendwa wetu.
kwa leo natoa pole tu, Mungu akipeenda...
wapendwa,
nnatumaini mnakumbuka vizuri thread yangu hii hapo chini:
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/131459-siku-30-nzito-za-maisha-yangu-ooh-glory-to-god.html
kwa sasa niko safarini kurudi dar. safari hii ni ya pekee kwangu kwa sababu huko dar pamoja na mambo mengine...
wapendwa,
nimeweka wimbo wa CHURA wa JKT Taarab kwenye lik hii hapo chini:
https://www.jamiiforums.com/entertainment/208761-chura-jkt-taarab-walitisha-sana-enzi-hizo.html
naomba tujadili usahihi wa maneno hayoo yaliyokolezwa rangi nyekundu
1.
mimi nafikiri badala ya kusema nilikisia...
Wapendwa,
Hakuna ubishi kuwa huu wimbo ni wa zamani sana na sijui mwaka gani ulitungwa na kuchezwa ila kwa kweli naupenda sana maudhui yake!!
Wakubwa wanasema umejaa mafumbo matupu, anayejua unafumba nini, naomba atujuze.
WIMBO: Chura
ALBUM: Sina hakika
KUNDI: JKT Taarab
MASHAIRI
1. Chura...
wapendwa
heri ya mwaka mpya 2012!
napanga kufanya safari moja muhimu sana nyumbani Tanzania katika kipindi cha wiki moja ijayo. wakati nikitafakari yote yatokanayo na safari hiyo, ndipo nilipokumbuka simulizi maarufu la Ayubu 42:9-17 ambalo nataka tutafakari kwa pamoja wakati huu...
My Dearest one
Greetings my dearest one,my name is Ruki justin yak am 25 years old Girl from Southern sudan.I want to have a Good relationship with you, I need to tell you more things, but first I need your help to Stand for me as a trustee.
My father Dr. Justin Yak Arop was the former...
A woman is having an affair during the day while her husband is at work. Her nine-year-old son comes home unexpectedly, sees the illegal lovers and hides in the bedroom cupboard to watch. Then the woman's husband unexpectedly comes home. She hides her lover in the cupboard, not realizing that...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.