Dah, wapendwa,
Mi natafuta wimbo wa Lovy Longomba, nafikiri unaitwa Amina (Sina hakika Na JINA LAKE). Ubeti mmoja unaimbwa "...kuchota maji pipa tanooo kutoka mtoniii, fikiri nitaweza vipii". Na kibwagizo kinaimbwa ".... Amina kipenzi changu Mimi sitaweza, agizo la wazazi wako linaniwia...
si kuwa nimekosa kila mahali, ila kutokana na shughuli zangu, nimetafuta zaidi maeneo ya mlimani city, mwenge, kijitonyama na makumbumbusha kwa sababu ya ukaribu tu wa kufika maenedo hayo (convenience).
otherwise, asanteni wapendwa, nitapitia huko kariakoo kama mlivyoshauri.
mbarikiwe sana...
Wapendwa,
Heri ya mwaka mpya!
Naomba nisaidieni mwenzenu,
Nimehangaika sana kutafuta Hair remover, ile dawa ya kuondolea nywele na vinyweleo mwilini, unapaka sehemu unayotaka kuondoa nywele/vinyweleo, unasubiri kama dakika tano hivi, kisha unaosha kwa maji na nywele/vinyweleo vyote vinakuwa...
Habari mpendwa,
za kupotea?
ni juzi tu nimekumbuka wimbo wa super lovii, sikumbuki unaitwaje ila kuna maneno kama:
"..............nilete maji pipa tano kwa mikono kutoka mtoni, fikiri nitaweza vipi...."
halafu wanaitikia:
".......... Amina kipenzi changu mimi sitaweza, agizo la wazazi wako...
swali la nyongeza, "na huyo baba ana uhakika kuwa anazaa?"
isije ikawa yeye ndio mgumba!
mshauri waende kufanyiwa vipimo hospitali na wewe jitenge na uzinzi
ubarikiwe sana mpendwa
Glory to God!
Ni kweli mpendwa,
niongeze tu. kama bado mnakumbuka ukiukwaji wa waziwazi wa kanuni za bunge dhidi ya wapinzani wakati wa madam Makinda na Mr. Ndugai, wadau walikemea sana ila upande wa CCM walikuwa wakifurahi! hayo nayo yalikuwa ni matendo ya kujichukulia sheria mkononi!! naweza kusema kuwa...
siku ile niliuliza swali humu kama TBC hawataweza kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kudanganya umma lakini sikupata ufafanuzi. kumbe inawezekana! basi iwe mwanzo wa kutofumbia macho mambo ya uongo na upotoshaji wa dhahiri unaofanywa na vyombo vya habari, dola kama polisi au vingine vyovyote...
wapendwa,
hii inasikitisha kwa kweli. hata kama ni sera zao, naona kama wamefikia kudanganya umma. mfano waliposoma gazeti la majira na nipashe! hivi hakuna uwezekano wa kulalamikiwa kwenye baraza la habari kwa kudanganya umma?
mbarikiwe sana wapendwa,
Glory to God!
Yeah,
mtaji wa kuandikisha laki tano. usijali gharama za kusajili, ninachotaka kujua ni jumla ya kiasi gani natakiwa nilipe. kwa sababu namtuma kijana anisaidie kuweka sawa logistics. ikishasajiliwa uwekezaji utaongezeka.
vipi na nakala zinatakiwa ngapi?
ubarikiwe sana mpendwa,
Glory to God!
Wapendwa,
Natumaini hamjambo na mnaendelea vyema na majukumu.
Naomba kwa mwenye latest information anisaidie kujua kusajili kampuni ya up to Tsh 500,000 nominal capital inagharimu jumla ya Ths. ngapi na zinahitajika nakala (copies) ngapi za memorandum and articles of association.
Asanteni...
pole sana mpendwa.
nakushauri utumie multvitamin, zinasaidia sana kama una tatizo usilo na hakika nalo.
ila umejumuisha neno "pregnant" kwenye magonjwa uliyopima. nadhani ujauzito si ugonjwa.
ubarikiwe sana mpendwa
Glory to God!
Oooh, my God!!
eti nini? Mch. Gwajima na Flora Mbasha?? Mi sikuyajua haya! na mume wa flora Mbasha yuko wapi sasa hivi? amekamatwa? nini kinaendelea kwenye kesi hii jamani. Mungu atunusuru. Amen
mbarikiwe sana wapendwa,
Glory to God!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.