Bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HESLB) inaweza ikawa kama chanzo cha kuinua elimu yetu,kama ikitumika ipasavyo kwenye swala la utoaji mikopo kwa wanafunzi .Bodi ijaribu kuweka masharti ambayo yata wafanya wanafunzi kuongeza juhudi katika masomo yao kwa kuweka kiwango flani cha ufauru ambacho...
fanya mazoezi sana sana ya miguu kimbia ,chuchumaa na kuinuka ,kula ndizi mbivu ,kula matikiti maji mwisho jiamini na hicho hicho utaweza mlizisha mwanamke kuliko kutaka mb kubwa
Kaka kama mtu anapenda kazi ya baba mta mkataza ,ndio maana ukiuliza watoto wengi unataka kazi gani atakwambia kama ya baba so watanzania tuwe waelewa kidogo ...
so wanaamua kuwekana kienyeji bungeni kisa hawa tawali nchi ,nilipenda kuona vyama vya upinzani vinafanya upitishwaji wa wabunge wao kwa wazi yani wanashindanisha watu wenye sifa kula za maoni ndio ziwe zinazungumza sio kisa kubenea kawa mbunge basi mkwe mbunge wa viti maalum ina maana ukawa...
ichi ndicho chama akiyumbishwi na watu kama hawa ichi nichama cha watu wote sio hawa wachache wanaojifanya wababe bila wao ccm hakuna kitu ,ajitokeze mwengine sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.