Mkuu kama unampango huo sijui unaoa familia ipi maana zinatofautiana but generally;
1. Walalamikaji sana
2. Kila jambo wanaona wanaonewa
3. Wanapenda kuleta ndugu zao walipoolewa
4. Bwana yesu asifiwe zimejaa midomoni mwao but hua hawamaanishi hivyo
5. Wanapenda fair sana so uwe makini
Mm nilikutana na kidem Cha form six mwaka flani nikakipiga sound kipindi hicho nipo second year nafukuzia kadigrii kangu
Oneday akaja getto nikaforce kupiga mzigo mtoto kagoma. Mida ikasogea mpaka nikakata tamaa, kumbe na kenyewe kana kipuro hatari ila hakataki tu kunipa kirahisi[emoji41] basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.