Kuwa underdog hakumaanish kuwa huwez vuka au kuifunga timu kubwa, yanga alikua underdog kwa Al ahly na belouzdad hio Iko wazi, ila hizi timu kubwa zitakua zinaiogopa sana hii nchi maana c kwa kipigo kile alichokula mwarabu jana
Ndio yaan idadi ya magoli single team itascore kwa kufuatana bila mpinzani kuscore, mfano home team anascore la kwanza la pili la tatu af baadae away anascore 1 mechi Inaisha 3-1, home team amescore 3 goals in a row, km angefunga la kwanza la pili af away akapata Moja baadae home akaongeza la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.