Huna tatzo lolote la kiafya
Ni stress zimekuzid mpaka unakosa hamu...pambana kuondoa mawazo pia epuka sana kukaaa peke yako muda mwingi
Jimix na washkaji....kula mlo kamili.
ni uungwana upi kaufanya ilihali mwandishi hajaonesha namna yoyote ya kukataa kosa nilivomuelewa mwandishi claim yake n kuwa why abaandikiwa fine na hajapewa taarifa?ni haki yakee kupata taarifa endapo alipigwa fine.alichofanya hyo askari ni kumkomoa na si vinginevyo.
usafi wa vyoo na kuwahi lectre vnahusiana vip ilihali usafi wanafanya wafanyakazi walioajiriwa pale?kiukweli swala la vyoo kwa udsm ni wamefail kitambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.