Wasabato bana. Jitahidini kuchafua labda kuna siku mtafanikiwa. Watu wanahubiri UPENDO nyie mnakomaa na kutunga uongo wa kuchafua madhehebu ya wengine. Sielewi ni mtin**d**I*ooo
Usafiri wa daladala esp mkoa wa Mwanza umekua unaboa sana, unakuta gari imejaa mpaka sehem ya kuweka mguu hakuna then hao makonda wanakuambia gari haijai inajaa ndoo ya maji, binadamu tulivyo na akili chafu tunajazana tu. Cha kushangaza zaidi kuna daladala nyingi sana mkoa huu, kuna gari nyingi...
Tunaombeni serikali ifuatilie hili suala. Maana kuna watu mtaani huku mwanza wananunua hizo sarafu kwa sh 1000/= hatujajua mtatumizi yake ni yapi. Na ukifuatilia kwa karibu utagundua kuwa 500 imekuwa adimu, sina uhakika kwa mikoa mingine ila kwa Mwanza. Inaonekana 500 ya noti inapotea kwa speed...
Haya mambo yapo, kwa wale tunaoishi kanda ya ziwa tunakutana nayo. That's spiritual problem, kwa hiyo unachotakiwa ndg ni imani yako na Mungu wako ndo atakuokoa.
Hizo ni story za kisabato tumezizoea. Tunawafahamu kwa tafsiri za kinabii za uongo. Wasabato walishatabiri mpaka mwisho wa dunia lakini hakuna kitu. Kwa kifupi hawaelewi wanaposoma biblia maana hawatofautishi kati ya utawala wa kirumi wa zamani na kanisa la RC, ambavyo ni vitu viwili tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.