Watu wanasahau kuwa uongozi Wa kwanzA alopewa adam katika maisha yake ndio kufuata maagizo ya aliye muumba na iliendelea hivyo .mambo yanaharibika wanadamu wakitunga sheria za kuwatawala watu. Sheria zikatupwa. Wana israel (yakubu)wakachukuliwa kuwa watumwa .musa akaletwa na sheria au mfumo...
Wakati mwengine unajikuta Mahal ambako hasara haiwi issue. N.a. linafanywa linalo hitajika
.ikiwa hasara ni ndogo kupita kujikwamua kiuchumi. Unakubali hasara.
Raisi kafanya linalo paswa.
Tumpe hongera kwa hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.