Nakupa Big up sana Mkuu kwa huu uzi. Upo smart Upstairs. Japo najua kwa vile wabongo hatupendi kitu kinaitwa Regulations, Basi watauchukulia huu ushauri wako negative.
Yaap! Mi naaplly kanuni ile ile...Ya msuli yatima . but katika forex ni muhimu sana kuwaangila waliokutangulia wanafanya nini! COPY AND PASTE THIER EXPERIENCE
Unapatikana wapi? Embu chek na madalali wa pale Ilala sokoni. Wanaweza kukusaidia. Pilipili huwa zinatoka kwa bei nzuri sana sokoni kama umefanya timing. Nitafte kwa +255656106906 nikuunganishe kwa dalali. Alinisaidia wakati nauza bamia zangu
Hbrn za asubuhi. ULIYEETA HII HABARI NAKUPONGEZA MNO!
Me naona wangufuta kbsaaa hii story eti binadamu alianza kama nyani!....ndo imefanya wazungu kutudharau hadi leo na kutuona waafrika kama bdo tunafanana na nyani...na pia, imetufanya waafrika kutokujua our real identity! Kwamba chanzo chetu...
Hbr za asubuhi, Nipo interested na hii biashara ya Mpunga, sasa now npo kwe research. Plz mwenye uzoefu kuhusu bei nzuri ya kuupeleka mpunga sokoni ni kipindi gani?
Na je nikihifadhi mpunga kwe godown for 4 months hauwez kuharibika au kupoteza ubora wake???
Aisee....niliangalia taarifa ya habr last week..ilikuwa inasema hv....SHEHENA YA MADAWA YA KULEVYA YAKAMATWa TANGA....nliishiwa pozi...sheehena ya meli...meaning kwamba kuna kontena kibao humo za madawa...hv inakuwaje wanasafirisha madawa kama viile mitumba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.