naomba kuuliza wakuu hii piki piki ni inzuri sio kimuonekano apana perfomance yake kwenye barabara korofi na lami? pia vifaa vyake na mafundi wakawaida wana zitengeneza?
Hello Madam
Naomba unipostie
Nahitaji kijana anaejua kupaka rangi aina zote na huduma zote za saloon ya kucha
Awe anaishi maeneo karibia na Kimara
0752934983
Natafuta kijana wakuuza popcorn maeneo ya feri pale location ipo imetulia kabisa mshahara ni maelewano kama kuna mtu ataitaji apige simu 0685141035 asitume sms piga simu [emoji1545]
Natafuta mc na mzikiwake wa shughuli ndogo tu ya watu 150 kwenye ukumbii kama yupo umu au una ndugu yako ana mziki na ni MC shughuli ni tarehe 2/12 tuwasiliane 0685141035 [emoji1545] ofaa yangu 600,000
Hivi wakuu nawezaje kupata utingo wa malori sijasomea ufundi ilaa napenda kufanya kazi iyoo kama una connection waku na pia kama kuna changa moto zake mniambie mapema
Kwa hapa Dar es Salaam au mikoa mingine iliyoo changamka kama Dodoma, Mwanza na Arusha kama mtu ana mtaji wa milioni 4.5 anaweza fanya biashara gani ikatoa asipate bughudhaa ya migambo
Mdogo wangu amemaliza Diploma ya Marketing amefanya kazi kwenye baadhi ya cargo Dar es Saalam anauzoefu na marketing na hachagui kazi 0685141035 yupo Dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.