Huu anakwenda nao Kaburini kaka niamini...ukimkosea mtu afu akatangulia mbele za haki ni hatari sana,!ajuto yake ni makubwa na maumivu yake hayabebeki.
Pumba..so ulitaka Lowasa aamke ndo amtaje kikwete?,he is no more but familia ilipaswa kutambua kama ilivyowatambua wengine...mzee alizingua alikiuka makubaliano acha kujambajamba kwenye mapovu bro.
Kiba ANAJUA SANA MWANANGU na ndo maana mwaka wa 100 huu Domo na mashabiki zake wanahangaika na wewe na siyo JUX,KONDE,BARNABA wala nani....wanakiangalia wewe na unawaumiza bro, wasamehe kenge hao HAWAKUWEZI.
Huu sasa karibu mwaka wa 6 mnamwambia Ali kiba abadilike, jamaa yupo vilevile na Bado hamlalai mnamuwaza, hivi kwanini msishimdanishe Domo na jux au Barnaba, Kila siku kiba na jamaa yenu anaingia king Kwa [emoji146] kiba, ndo ujue kiba n mtu hatar na ndo maana anasumbua akili ya Domo days and...
Sihitaj ushaur wa machoko maku we, watu wapo serious mnaleta umaku SI Kila mtu anhitaj masihara ya kingese msee, unajitia ujuaji kudandia mambo ya watu we choko nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.