Ukitaka kujua mkoa wenye vitabu vingi feki na wamiliki ni wakuu wa matrafiki njoo Arusha, ndipo utawakuta matrafiki matajiri wana majumba na magari mazuri sana jiulize wanalipwa mshahara wa kiasi gani. Trafiki mgeni akihamishiwa Arusha baada ya hata mwezi 6 haipiti ni kifaru wa kufa mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.