World Bank wamekuwa kichocheo cha kuleta umasikini hasa nchi za dunia ya tatu hasa za kiafrika. Wanakusifia na kukuweka kitambaa machoni lkn siyo uhalisia
Wanaotengeneza matuta wanatakiwa waende TBS kuuliza waweke matuta gani yenye viwango. Maana unaweza kuwa na gari lililopishwa na TBS kwa ubora lkn likashindwa kupita kwenye barabara za TARURA NA TANROAD. Hapo huwa nashindwa kuelewa kama watu wanafanya kazi kwenye nchi moja
Haya Sasa. Huyo ni kiongozi na kaonyesha wazi chuki dhidi ya wahaya. Pia naona michango mingi unakuja against wahaya. Sasa wahaya tafuteni jinsi ya kubadilisha majina yenu. Msitegemee kupata ajira na kushinda interview kama watu wenyewe ndo hao. Kazi kwenu akina Mutashobya, Mwijage, Karugendo nk
Kituo chenyewe cha Mbezi ni HATARISHI KWA AFYA YA WATUMIAJI. Mabasi yanayokuwa chini na yote yanakuwa yanewashwa asubuhi, kuna moshi mwingi sana.
Moshi unazuiwa na paa na hivyo usambaa kwenye mabasi yote ya ayokuwa chini na wakati huo yote yanakuwa tayari yamepakia abiria. Kituo hiki kitakuwa...
Ujio wa Mkurugenzi huyu mpya umeleta imani kwa wananchi wa Temeke kwa Serikali yao.
Mkurugenzi huyo anatoa muda mwingi kusikiliza kero zao na wakati mwingine anawafuata wananchi kulekule walipo kujioonea hizo kero na zenye kutatuliwa anazitatua hapo hapo.
Wananchi sasa wanaamini kuwa serikali...
Watangazaji wa zamani saana ni kama. NASSOR NSEKELI, HAWA MALIPULA. MOHAMED NGAYONGA, RASHID SEIF NASSOR, MSHINDO MKEYENGE, JUMA NGONDAE NA WAKATI HUO FUNDI MITAMBO NI NOEL NAMALOWE, JACOB AYIMBA NK
Nilitaka kuuliza swali kama hilo lkn umeniwahi. Nimetafuta kwenye mtandao sikupata. Nilidhani halmashauri za Dar watakuwa sharp kuweka kwenye mtando kumbe ndo ovyooo Hovyooo. Chama dhaifu huzaa viongozo dhaifu na halmashauri dhaifu...
Nashukuru mkuu. Naomba ufafanuzi ni jinsi gani unaweza kudondosha matone ya maji ya karoti kwenye macho bila madhala. LKN KAROTI SIO TUNDA Kama ulivoweka kwenye heading.
Nami nakumbwa na mardhi kama hayo hasa nikioga maji baridi. Nashangaa kuona maji ambayo ni neutral liquid nayo yanaleta mzio. anikichemsha kuna afadhali kdg
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.