Kwa kweli inasikitisha, Mimi baba yangu alistaafu 1979, mpaka leo hatujalipa kama sio dhuluma ni nini? Wakati pesa ilitolewa na wenzetu nchi jirani walilipwa bila shida yoyote.
Pia ninacho kizuri kipo Kivule Chakenge, karibu inapojengwa hospitali ya wilaya ya Ilala, kina ukubwa wa hatua 35 kwa 30 bei 8.5mil. Kama unahitaji nipigie 0755 214 620
Pia nami ninacho kiwanja safi sana, kipo Kivule Chakenge kipo jirani na mahali inapojengwa hospitali ya wilaya ya Ilala, kama inahitajika piga simu namba 0755214620
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.