Hivi kwanini msimalizane na hawa wa zamani halafu marekebisho yaanze upya mnavyotaka ila WAZEE WANALALAMIKA SANA ...PSSF KUWENI MAKINI MZEE YUPO NJIANI..
Mhe: Magufuli kama hawa wazee wetu wanateseka itakuwaje kwa upande wetu hapo baadae halafu wengine wanaumwa moyo kisukari wanalalamila wanasumbuliwa na PSSF.. Jamani shirika lenu zuri halafu mnaanza kulitia DOA la RUSHWA ...TUNAOMBA C.E.O wa shirika hilo awaweke kikao wafanyakazi jamani kwani...
Yes hii ndio Tanzania mpya kwani hatupaswi kufumba macho sasa kiongozi tunaye tena JEMBE naam pia kwa wastaafu mwaka huu naona wanalalamila kwani watu wametumikia miaka 60 kazini halafu unamwambia pesa yako sisi tunakulipa kuanzia mwaka 2000 halafu miaka ya nyuma HAZINA itakulipa hiviiiii...
Yes now we're taking .. Hii ndio Tanzania yenye watu wazuri wenye moyo wa kipekee hata kama wapo wachache waharibifu lakn wazuri wapo pia naam Tuzidi kumuombea Rais wetu..
jamani kasharekebisha kiswahili naombeni msome tena mtaona vyema marekebisho... Comorade umeongea mambo ya msingi sana tunaamini habari zitamfikia mhe. Rais magufuli ... Tanzania nchi yangu naipenda na jf i love you.. ...
Rais wetu haigi mtu naam vijana tunampenda na tunaamini Tanzania yetu itakuwa kwa haraka kwa kuwa uchumi utakuwa na ajira zitaongezeka na viwanda vitafanya kazi tena.. ...
Naamini kila mmoja wetu anachangia kwa uelewa wake sasa tatizO liko wapi hapo mmh naam hakuna mtanzania mwenye upungufu wa akili humu ndani.. sasa tujaribu kutumia lugha nzuri..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.