lema aliacha kampeni au mbona. cmwoni hapo mkuu nahisi kuna haja ya halmashauri kuanza kuweka ulinzi kwenye shule zetu na sio wazazi kuambiwa toa hela ya mlinzi wahalifu ukibahatika kuongea nao kwa Mzee Wa upako au njia panda waulize nini nia yao hasa
mbona karibu sana hivi hawa wanyarwanda wakitoa magari cwanaenda mbali zaidi ya hapo mtoa mada kama no mwoga ninao madereva kibao hizo ndo kazi zao jua umbali nikupe garama za mafuta mpaka Nyumbani
njia rahisi ya kuwa karibu na watu na kujua mambo mengi pia Kilimanjaro kuna uhaba Wa ardhi njia rahisi ya kuishi ni kufanya biashara hasa ya duka au kuuza chochote sokoni
kama taaluma ya udaktari ni pamoja na uongozi nahisi lipo tatizo kwenye bongo za madaktari wetu mfano masawe kairuki ngoma hospital I zao hazifanyi vizuri bila wao kuwepo mwenye mfano Wa hospital I inayo Fanya vizuri anipe mojawapo na ni kwanini hawaachi kazi serekalini mfano masawe
hakuna namna afya tz ni shida waangaliwe wanafanya kazi kwa mazoea ICU haina tofauti na wodi nyingine jaribu hapo muhimbili. nilihudhuria hapo miezi miwili na mgonjwa akafa manesi wanaiba chupa za chai wanajadili aina ya chakula alicholetewa mgonjwa wagonjwa wrote waliofanyiwa upasuaji kichwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.