Ya kwangu ilikatwa Airtel. Kiasi cha laki nne na ushee. Nilienda straight kwa Manager pale makao makuu. Sio issue za vibandani au dirishani hizi. Na imeisharudishwa
Putting all the eggs in one basket. Kila kitu muhimu ni Dubai kwa Wajomba. Bandari ji Dubai huyo huyo. Carbon trading ni Dubai huyo huyo. Anythingyou name it , ni the mighty "Dubai"
Makonda kafumua mzinga wa nyuki. Majibu atayapata si muda mrefu.
Maneno yake ukiyachunguza kwa umakini mkubwa, anasema Rais Samia hatoshi. Ile ilikuwa awamu ya tano sasa tupo awamu ya sita.
Pombe alikuwa na akili yake. Samia ana akili yake. Hawawezi kuwa sawa hata kama ilani ni ile ile na CCM ni...
Yaani kifupi chukulia hiyo ni bei ya lodge. Mengineyo ni makubaliano. Kwa Bongo, hayo ni aina ya madanguro. Wafanyakazi kwa sehemu kubwa ni hao hao wauzaji mitaani. Akili mkichwa!
Ni ajabu sana kwamba siku za mwisho hadi Pombe anazidiwa kiasi hicho, VP alifichwa sinema nzima. Ningetegemea awe na taarifa kuhusu maendeleo ya matibabu ya boss wake. Kwa nini wamfiche mtu ambae kikatiba alitakiwa kuchukua madaraka baada ya Pombe kuzima?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.