Barbarossa Ndugu yangu maandishi haya no hatari kwa makosa ya mitandaoni unataka kueneza chuki? Ngoja tuwashauri wanasheria wake Mh.Lowassa ili ukathibitishe maandiko yako.
Kwa wale Wanafunzi tuliosoma Na kumaliza kidato cha NNE ktk Shule ya sekondari AZANIA ya Jijini Dar es salaam mwaka 1976 tutakuwa tunamfahamu Mwalimu Mama Kisanji.
Tunaomba yeyote anayejua alipo Mwl.Wetu atupe mawasiliano TUMSHUKURU MAMA YETU.
Ninawaomba wajuzi wa mambo ya Sheria ya Rushwa watujuzi Sheria ya Rushwa inasemaje kwa mntoa rushwa a mpokea rushwa.Kwa uelewa wangu mdogo nadhani iwapo mtoa rushwa hatatoa taarifa za kuombwa rushwa kwenye chombo husika basi akitoa rushwa atakuwa katenda kosa.
Mkoani Tanga kuna Polisi...
Umesema usitoe wala kupokea rushwa mbona yule polisi Wa tanga aliyepokea rushwa kakamatwa lakini aliyetoa licha ya kufahamika hajakamatwa au Sheria in kwa mpokea tu?
Acha uongo mkuu we we unaishi nao? Unaijua katiba we we? Kasome katiba ujue kama wana maisha magumu au la lakini Baba yako ana maisha gani kule kijijini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.